Wanawake mkoani Kagera kupimwa saratani bure

Mtaalamu kutoka Taasisi ya uzazi na malezi bora (UMATI) Tawi la Mwanza Dkt. Milka Eyembe

Kampuni ya Stamigold mkoani Kagera imeanzisha huduma ya upimaji wa saratani ya kizazi na utoaji tiba bure kwa akina mama waishio katika vijiji jirani vinavyo uzunguka mgodi huo ili kuweza kunusuru maisha yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS