Kikwete ateua Makamishna NEC,Wakuu wa mikoa wawili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewateua Makamishna wawili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewateua Makamishna wawili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC pamoja na wakuu wa mikoa wawili ambao wanaziba nafasi zilizoachwa na wakuu wa mikoa walioingia kwenye kinyang'anyiri cha kugombea ubunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS