Wananchi watakiwa kutoa taarifa uhalifu mitandaoni

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Patrick Makungu akifafanua jambo

Wamiliki wa mitandao ya mawasiliano nchini wametakiwa kutoa taarifa haraka juu ya makosa ya uharifu wa mitandaoni pindi yanapojitokeza, ili kuvirahisishia vyombo vya usalama kuweza kuchukua hatua za haraka kwa wahusika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS