Hatujitoi UKAWA - NCCR Mageuzi

Chama cha NCCR Mageuzi kimesema kuwa hakitajitoa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA licha ya kuwepo kwa mikakati ya kuwadhuru baadhi ya viongozi wa umoja huo, pamoja na kuusambaratisha muungano wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS