Wazee walia kusahauliwa katika sera majukwaani

Wazee Maarfu wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia katika jimbo la Newala Vijijini mkoani Mtwara.

Chama cha Wastaafu na Wazee Mkoa wa Mtwara (CHAWAMU) kimelalamikia kitendo cha wanasiasa wanaogombea nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi zote, kuwasahau wazee katika sera zao wanazozitoa wakati wa kuomba kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS