Wakulima wadogo walia na ushuru wa mazao

Charles Meshack Mkurugenzi wa Shirika la kuhifadhi misitu ya asili Tanzania(TFCG).

Wakulima wadogo nchini wameendelea kulia na ushuru mkubwa wa mazao uliowekwa na serikali, ucheleweshwaji wa pembejeo na kushindwa kudhibitiwa kwa madalali wanyonyaji sokoni na kutaka serikali ijayo kuangalia upya masuala hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS