Alieyekuwa Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi celina Kombani.
Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi celina Kombani amefariki dunia nchini India alikokuwa amelazwa kwa takirbani mwezi mmoja kwa ajili ya Matibabu.