Watanzania watakiwa kudumisha Amani

Shekhe na Kadhi mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Shaaban.

Watanzania wametakiwa kudumisha amani na utulivu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu ili waweze kuwachagua viongozi bora watakaowaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS