Serikali kuunga mkono wasambazaji Nishati ya umeme

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt.Rajab Rutengwe

Serikali mkoani Morogoro imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na wadau wa maendeleo,wakiwemo wanaosaidia kufikisha nishati mbadala ya umeme kwa gharama nafuu kwenye maeñeo yanayotoa huduma muhimu za kijamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS