Mapigano yaibuka tena mkoani Morogoro

Mganga mfawidhi hospitali ya wilaya ya Kilosa Dkt. Dickson Masele.

Mapigano yameibuka tena katika kijiji cha Tindigai ‘B’ wilaya ya Kilosa, Morogoro ambapo wakulima 11 wakiwemo mwenyekiti wa kijiji hicho na mwenyekiti wa kitongoji wamevamiwa na kupigwa na wafugaji na kupelekea kulazwa katika hospitali ya Kilosa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS