Rais atoa siku 7 kwa Wafanyabiashara kulipa kodi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea Dk Reginand Mengi Mwenyekiti wa Umoja wa Sekta Binafsi nchini

Rais wa Tanzania,Dkt.John Pombe Magufuli ametoa siku 7 kwa wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kulipa kodi kuhakikisha wamelipa malimbikizo yao ndani ya siku hizo badala ya kuendelea kuficha makontena vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS