Rais atoa siku 7 kwa Wafanyabiashara kulipa kodi
Rais wa Tanzania,Dkt.John Pombe Magufuli ametoa siku 7 kwa wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kulipa kodi kuhakikisha wamelipa malimbikizo yao ndani ya siku hizo badala ya kuendelea kuficha makontena vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.