Enka kutomzuia baby Madaha

msanii wa muziki na muigizaji filamu nchini Baby Madaha

Diva anayefanya poa katika tasnia ya filamu na muziki nchini Baby Madaha ambaye amepata ajali ya kuteguka enka mguu wake wa kulia amesema kuwa hali yake hiyo haitomzuia kukamilisha kazi zake za muziki na filamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS