Halmashauri zatakiwa kusimamia sheria za usafi
Mkurugenzi Tawala za Mikoa nchini kutoka ofisi ya waziri mkuu nchini TAMISEMI Bi Suzane Chekani amezitaka kila halmashauri nchini kusimamia na kutumia sheria zake ndogo zinazosimamia maswala ya usafi zilizopo kwa kila manispaa.