Mesen Selekta akerwa na Baghdad

msanii wa muziki nchini Mesen Selekta

Kauli ya rapa Baghdad juu ya kuchukuliwa aliyekuwa mpenzi wake na Mesen Selekta, imeibua kutokuelewana tena kati yao hasa kutokana na Mesen kutokufurahishwa na taarifa hiyo kwa madai kuwa inaathiri familia yake akiwa baba wa mtoto mmoja sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS