Ngawina abwaga manyanga Ndanda FC

Wachezaji wa timu ya Ndanda Sc ya mkoani Mtwara, wakipokea maelekezo kutoka kwa makocha wao, Hamimu Mawazo (Kocha Mkuu) na Ngawina Ngawina (Msaidizi).

Kocha msaidizi wa timu ya soka ya Ndanda FC ya mkoani Mtwara,Ngawina Ngawina ametangaza kubwaga manyanga baada ya kushindwa kuvumilia shinikizo kutoka kwa mashabiki wa timu hiyo la kumtaka ajiuzulu na kumuacha kocha mkuu Amimu Mawazo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS