Ngawina abwaga manyanga Ndanda FC
Kocha msaidizi wa timu ya soka ya Ndanda FC ya mkoani Mtwara,Ngawina Ngawina ametangaza kubwaga manyanga baada ya kushindwa kuvumilia shinikizo kutoka kwa mashabiki wa timu hiyo la kumtaka ajiuzulu na kumuacha kocha mkuu Amimu Mawazo