Serikali haijaridhia nauli za mabasi mwendo kasi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haijaridhia viwango vipya vya nauli ya mabasi yaendayo kasi vilivyopendekezwa na waendeshaji wa huduma ya mabasi yaendayo kasi Dar es salaam (UDART). Read more about Serikali haijaridhia nauli za mabasi mwendo kasi