Michuano ya kombe la FA kuendelea kutimua vumbi
Michezo ya mzunguko wa pili wa Kombe la Shirikisho inaendelea leo katika viwanja vitatu tofauti, huku kila timu ikisaka ushindi na kuweza kusonga katika hatua inayofuata itakayochezwa mwakani Januari, 2016 na bingwa kuwakilisha nchi mwaka 2017 katika