Mawaziri wakuu wastaafu wana haki kulipwa- Kairuki

Waziri wa nchi ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Mhe. Anjela Kairuki

Serikali imesema kuwa mawaziri wakuu wastaafu wanahaki ya kuendelea kuhudumiwa na serikali kwa mujibu wa hitimisho la kazi namba 3 ya mwaka 1999 na kuendelea kupewa stahiki zao kwa mujibu wa sheria ya nchi inavyoelekeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS