Korea Kaskazini yarusha kombora licha ya kukatazwa Licha ya katazo kubwa kutoka kwa Umoja wa Mataifa na nchi pinzani ya Korea Kusini, Korea Kaskazini imerusha kombora la masafa marefu angani, na kusababisha shutuma za kimataifa. Read more about Korea Kaskazini yarusha kombora licha ya kukatazwa