DANGOTE yaomba radhi kuajiri wageni bila vibali

Alhaji Aliko Dangote (kulia) mfanyabiashara maarufu kutoka Nigeria, akilakiwa na Mwakilishi Mkazi wa kampuni hiyo nchini, Esther Barut

Mwakilishi mkazi wa kampuni ya Dangote nchini ,Esther Baruti, ameomba radhi kufuatia taarifa zilizoandikwa kwenye vyombo vya habari wiki moja iliyopita juu ya kubainika kwa raia wa kigeni kiwandani hapo wanaofanya kazi bila kuwa na vibali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS