Watanzania watakiwa kuiombea Amani Zanzibar

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, Kazi na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama

Waumini wa dini nchini na Watanzania wametakiwa kuiombea Zanzibar ili iendelee kuwa na amani na utulivu kutokana na kukabiliwa na mvutano wa kisiasa baada ya Tume ya Uchaguzi visiwani humo kufuta matokeo ya Uchaguzi na kuamuru urudiwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS