Pongezi za wadau zaanza kumiminika kwa Samatta
Siku moja mara baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Ally Samatta kujiunga rasmi na timu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwa mkataba wa miaka minne utakaoisha mwaka 2020 akitokea TP Mazembe ya DRC ambapo wadau wa soka wamwagia pongezi.

