Serikali yavunja mkataba wa kiwanda cha Mponde
Serikali yavunja mkataba ulioingia na mwekezaji katika kiwanda cha kuchakata chai cha Mponde kilichopo Bumbuli Wilayani Lushoto Mkoani Tanga baada ya mwekezaji huyo kushindwa kukiendesha na kukisababishia madeni ya zaidi ya shilingi bilioni 3.
