Serikali yavunja mkataba wa kiwanda cha Mponde

Msajili wa hazina kutoka ofisi ya msajili wa hazina Laurence Mafuru,

Serikali yavunja mkataba ulioingia na mwekezaji katika kiwanda cha kuchakata chai cha Mponde kilichopo Bumbuli Wilayani Lushoto Mkoani Tanga baada ya mwekezaji huyo kushindwa kukiendesha na kukisababishia madeni ya zaidi ya shilingi bilioni 3.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS