Serikali yatoa tahadhari kuhusu Homa ya Zika

Waziri wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu.

Serikali imewataka wananchi anapojisikia homa au wamepata homa wahakikishe wanapima ili kugundua kama wana vimelea vya malaria au la, kwa kuwa dalili za ugonjwa wa Zika zinaweza kufanana sana na dalili za malaria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS