Serikali yatoa tahadhari kuhusu Homa ya Zika
Serikali imewataka wananchi anapojisikia homa au wamepata homa wahakikishe wanapima ili kugundua kama wana vimelea vya malaria au la, kwa kuwa dalili za ugonjwa wa Zika zinaweza kufanana sana na dalili za malaria.
