Kamati ZFA yamtaka Malinzi asiingilie mambo yao
Chama soka Visiwani Zanzibar ZFA kupitia kamati ya muda ya chama hicho iliyoundwa kuongoza kwa muda hadi utakapochaguliwa uongozi mpya wa ZFA,kimemtaka Rais wa Shirikisho la soka Tanzania Jamal Malinzi aache kuiingilia kamati hiyo.

