Rais Magufuli alaani kuuawa kwa Rubani Roger Gower
Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amelaani kitendo cha watu wanaosadikiwa kuwa ni majangili kumuua kwa kumpiga risasi Rubani wa helkopta Roger Gower, raia wa Uingereza na kisha kuidondosha helkopta aliyokuwa akiiendesha.

