Rais Magufuli alaani kuuawa kwa Rubani Roger Gower

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Jumanne Maghembe akiwa eneo la tukio ilipotunguliwa helkopta ya TANAPA iliyomuua Kept. Roger Gower.

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amelaani kitendo cha watu wanaosadikiwa kuwa ni majangili kumuua kwa kumpiga risasi Rubani wa helkopta Roger Gower, raia wa Uingereza na kisha kuidondosha helkopta aliyokuwa akiiendesha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS