TCRA yazima mitambo ya Six telecom Tanzania LTD

Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Six Telecoms Limited, Rashid Shamte

Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania (TCRA), imezima mitambo iliyokuwa ikitumiwa na Six Telecom Tanzania LTD, kwa kukiuka kanuni na taratibu za leseni za mawasiliano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS