Wanaotoa lugha chafu kwa wagonjwa sasa kukiona

Hayo yamesemwa Bungeni Dodoma katika kikao cha Bunge ambapo naibu waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Khamis Kigwangalla alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti maalum CCM Faida Mohamed Bakari.

Mbunge Farida ametaka kujua namna serikali ilivyojipanga kutokomeza tabia mbaya ya wahudumu wa afya hasa kutoa lugha chafu kwa wagonjwa hususani kwa kinamama wajawazito.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS