TCRA yazima mitambo ya Six telecom Tanzania LTD Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Six Telecoms Limited, Rashid Shamte Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania (TCRA), imezima mitambo iliyokuwa ikitumiwa na Six Telecom Tanzania LTD, kwa kukiuka kanuni na taratibu za leseni za mawasiliano. Read more about TCRA yazima mitambo ya Six telecom Tanzania LTD