Wenye nyumba za kupangisha kuanza kulipa kodi
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Tanzania inaandaa sheria maalum itakayokuwa inawataka wamiliki wa nyumba wanaopangisha kwa bei kubwa kulipia kodi kama wanavyofanya wafanyabiashara wengine nchini Tanzania.

