Sihusiki na kesi ya Mtunisha Misuli - Mwakalebela
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka nchini TFF ambaye pia ni mwanasiasa hapa nchini Fredrick Mwakalebela amekanusha kuhusika na kesi ya Raia wa Pakistan, Mohammad Nauman Khalilur ambaye pia aliwahi kuwa Mtunisha Misuli Tanzania.

