Azam FC yachukua kombe la Michuano Maalum Zambia Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imetwaa ubingwa wa michuano maalumu iliyomalizika jijini Ndola Zambia baada ya kutoa suluhu dhidi ya Zanaco FC ndani ya Uwanja wa Levy Mwanawasa. Read more about Azam FC yachukua kombe la Michuano Maalum Zambia