Watoto wenye nundu, kupatiwa matibabu Arusha
Watoto wenye ulemavu wa kuota nundu mgongoni ambao ni wakazi wa kijiji cha Namba Nne wilaya ya Arusha, wameanza kupatiwa matibabu katika hospitali ya Seliani mara baada ya daktari mmoja kujitolea kuwasaidia matibabu.
