Museveni asema Uganda itajitoa ICC

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni anayegombea tena kuchaguliwa madarakani Alhamisi ijayo amesema anaunga mkono nchi yake kujiondoa kwenye mahakama ya Kimataifa inayoshughulikia uhalifu ICC iliyoko mjini The Hague Uholanzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS