Kiir ameteua Machar kuwa makamu wake wa Rais

Salva Kiir

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemteua tena mpinzani wake aliyekuwa muasi Riek Machar kuwa Makamu wa Rais wa taifa hilo changa la Afrika kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na televisheni ya taifa hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS