Wakandarasi kulipwa kabla ya bajeti ijayo-Mbarawa

Waziri wa ujenzi,uchukuzi na mawasiliano Mh. Prof Makame Mbarawa akizungumza na Mkandarasi hayupo pichani

Serikali imesema italipa fedha zote zinazodaiwa na wakandarasi nchini kabla ya kuanza kwa mwaka mpya ya fedha wa serikali hatua ambayo imeelezwa kuongeza kasi katika ujenzi wa miradi mingi ya barabara na madaraja ambayo ujenzi wake ulisimama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS