Maambukizi ya VVU yapanda Mbeya Mwenyekiti Mtendaji wa Tacaids, Dokta Fatma Mrisho Maambukizi ya Ukimwi katika mamlaka ya mji mdogo wa Rujewa halmashauri ya Mbarali mkoa wa Mbeya yanaongezeka kwa mujibu ya upimaji ulio fanyika hivi karibuni katika mamlaka hiyo Read more about Maambukizi ya VVU yapanda Mbeya