Abdallah Bin Kleb aombwa kugombea Yanga, achomoa

Kiongozi wa zamani wa klabu ya Yanga, Abdallah Ahmed Bin Kleb amesema kuwa wanachama wengi wa klabu hiyo wamemfuata kumuomba agombee katika uchaguzi wa Juni, lakini anasikitika hataweza kutekeleza ombi lao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS