Mhe. Mgimwa apeleka madawati 520 jimbo la Kalenga Mbunge wa jimbo la Kalenga Mkoani Iringa Mhe. Godfrey Mgimwa ametoa madawati 520 kwa ajili ya kutatua kero ya uhaba wa madawati katika shule zilizopo katika jimbo. Read more about Mhe. Mgimwa apeleka madawati 520 jimbo la Kalenga