Msikataze Demokrasia -Lowassa
Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mhe. Edward Ngoyai Lowassa ameitaka serikali kutoa uhuru kwa vyama vya upinzani kueleza hoja zao badala ya kuzuiliwa huku akieleza kuwa anaunga mkono jambo wanalofanya wabunge wa vyama vya upinzani kudai Demokrasia.