Walemavu waililia serikali kuhusu elimu
Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Patandi iliyopo wilaya ya Arumeru, Arusha wamelalamikia tatizo la upungufu wa walimu,vitabu na vifaa vya kufundishia kwa wanafunzi hao wenye mahitaji maalumu hali inayokwamisha maendeleo ya kitaaluma.
