Matumizi ya shisha yana madhara kwa watumiaji.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga marufuku uvutaji wa shisha ambao umezoeleka sana mijini na katika maeneo mengi ya starehe kwa maelezo kwamba inaharibu vijana wengi kutokana na vitu vinavyochanganywa humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS