Mabingwa wa michezo ya mapigano sasa kuvaana Julai

Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Mizengo Pinda akiwakabidhi makombe washindi wa mchezo wa mapigano.

Baada ya kuahirishwa kwa mara kadhaa michezo ya mashindano maalumu ya wanamichezo mabingwa wa michezo ya sanaa mbalimbali za mapigano nchini sasa ni rasmi michuano hiyo itafanyika kati ya Julai mwishoni ama Agosti mwanzoni mwaka huu Jijini Dsm.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS