TTB yaja na mfumo wa kufikia masoko ya kimataifa

Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa TTB Bw. Philip Chitaunga

Bodi ya Utalii nchini TTB imeanzisha mfumo maalumu ambao wafanyabiashara na watoa huduma za utalii wakiwemo wamiliki wa hoteli na nyumba za kulala wageni, wanaweza kutangaza biashara zao na hivyo kuongeza mapato yatokanayo na sekta ya utalii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS