TTB yaja na mfumo wa kufikia masoko ya kimataifa
Bodi ya Utalii nchini TTB imeanzisha mfumo maalumu ambao wafanyabiashara na watoa huduma za utalii wakiwemo wamiliki wa hoteli na nyumba za kulala wageni, wanaweza kutangaza biashara zao na hivyo kuongeza mapato yatokanayo na sekta ya utalii.