Kriketi Tanzania waanza kuisaka michuano ya Afrika

Wachezaji wa timu ya Kriketi ya Tanzania chini ya miaka 19.

Pamoja na mashindano ya vijana chini ya miaka 19 ya mchezo wa kriketi kwa nchi za Afrika kufanyika mwezi wa tisa mwaka huu nchini Afrika Kusini tayari timu ya kriketi ya Tanzania chini ya umri huo imeanza kambi maalumu ya mazoezi jijini Dar es Salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS