Chirwa aifuata Yanga Uturuki, kuanza mazoezi leo

Obrey Chirwa kulia akiwa na Mkuu wa Kitengo cha habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Jerry Muro uwanja wa Ndege jijini Dar es salaam

Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Obrey Chirwa ameelekea nchini Uturuki usiku wa jana kuungana na kikosi cha Yanga kilichoweka kambi nchini Uturuki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS