Makundi kibao yajitokeza usaili wa pili Dance100%
Shindano la Dance100 linaloendeshwa na kituo cha EATV limeingia katika usaili wa pili leo katika viwanja vya Don Bosco Upanga Jijini Dar es salaam ambapo makundi 21 yamejitokeza tofauti na usaili wa awali ambapo yalijitokeza makundi 10.

