Ujerumani yawekeza dola milioni 320 Tanzania Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Dirk Smelty Serikali ya Ujerumani imewekeza nchini jumla ya miradi 8 yenye thamani ya dola za kimarekani millioni 320 katika sekta ya afya, nishati, ujenzi na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali. Read more about Ujerumani yawekeza dola milioni 320 Tanzania