Ujerumani yawekeza dola milioni 320 Tanzania

Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Dirk Smelty

Serikali ya Ujerumani imewekeza nchini jumla ya miradi 8 yenye thamani ya dola za kimarekani millioni 320 katika sekta ya afya, nishati, ujenzi na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS