Tundu Lissu kupandishwa kizimbani tena leo

Mbunge wa Singida Mashariki ambae pia ni Mwanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Tundu Lissu

Mbunge wa Singida Mashariki ambae pia ni Mwanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Tundu Lissu alyenyimwa dhamana baada ya jana kuhojiwa na polisi kwa saa tatu na leo anatarajiwa kufikishwa mahakamani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS