Zitto Kabwe aalikwa na Hillary Clinton Marekani
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameondoka nchini kuelekea Philadelphia nchini Marekani kuhudhuria mkutano mkuu wa chama cha Democrats utakaomthibitisha Bi. Hillary Clinton kuwa mgombea urais kupitia chama hicho.

