Rwanda kurahisisha utumaji fedha kutoka ughaibuni
Serikali ya Rwanda imeanza kuchukua hatua kuhakikisha inapata vyanzo mbadala vya kufadhili maendeleo endelevu hususan kupitia mapato yatokanayo na fedha zinazotumwa na raia wake wanaoishi ughaibuni, badala ya kutegemea mikopo kutoka nje pekee.
