Paul Pogba aikaribia Manchester United

Mshambuliaji wa Ufaransa anayeichezea klabu ya Juventus ya Italia, Paul Pogba.

Kiungo wa Ufaransa anayeichezea klabu ya Juventus ya Italia, Paul Pogba ameruhusiwa kufanya vipimo vya afya Old Trafford ikiwa ni moja ya ishara kuwa huenda Manchester United imeafikiana na wakala wake kumnunua mchezaji huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS