Waziri Lukuvi aagiza waliouza makaburi watimuliwe

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi (Kushoto)

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi, amemuagiza Kamishna wa Ardhi Kanda ya Dar es Salaam, kuwafukuza kazi maafisa wote waliohusika na uuzaji wa viwanja vitatu katika eneo la Makaburi lililopo Tabata Kinyerezi, DSM

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS