Nchi 6 kushiriki kikapu Kanda ya Tano Jijini Dar

Mechi ya Kikapu, katika uwanja wa ndani wa Taifa

Nchi sita kati ya 11 zinatarajia kushiriki mashindano ya kanda ya tano ya mpira wa kikapu yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Oktoba mosi mpaka saba mwaka huu katika uwanja wa ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS