Mvua yawakosesha makazi zaid ya watu 250 Geita Maeneo yaliyoathiriwa na mvua Geita Zaidi ya wakazi 250 katika kijiji cha Namonge A katika Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, hawana sehemu ya kuishi baada ya nyumba zao kuharibiwa na kuezuliwa mapaa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha. Read more about Mvua yawakosesha makazi zaid ya watu 250 Geita